MATUKIO MBALIMBALI KITUONI EDEN (Dodoma) 17/June/2015 mchana.

Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, anafika na kukiweka wakfu Kituo cha Efatha Ministry Eden (Dodoma)

 Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira akifungua Jengo la Kituo cha Efatha Ministry Eden.

 Watumishi wa Efatha Ministry Eden wanampa Zawadi Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, pamoja na Watumishi wengine.






 Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira anawabariki Mchungaji na mama Mchungaji Eliya Shoo wa kituo cha Efatha Ministry Eden.


Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."