MATUKIO MBALIMBALI KITUONI EDEN (Dodoma) 17/June/2015 mchana.

Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, anafika na kukiweka wakfu Kituo cha Efatha Ministry Eden (Dodoma)

 Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira akifungua Jengo la Kituo cha Efatha Ministry Eden.

 Watumishi wa Efatha Ministry Eden wanampa Zawadi Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, pamoja na Watumishi wengine.






 Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira anawabariki Mchungaji na mama Mchungaji Eliya Shoo wa kituo cha Efatha Ministry Eden.


Comments