IBADA YA KUPAKWA MAFUTA kwa wana Efatha wote, Kituoni Mwenge Dar es Salaam , Tanzania.

Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira na Mke wake Mama Eliakunda Mwingira, katika Ibada inayoendelea hapa Efatha Ministry Mwenge, Dar es Salaam-Tanzania


Kanisani Efatha Mwenge Watumishi wakiwa wamekaa katika viwanja nje ya Kanisa wakiwa na shauku ya kuyaona maajabu ya Mungu siku ya leo, ukumbi wa ndani umejaa






 Watoto wa Sunday school walipokea upako huu pia. / The anointing was also done to the Sunday school children.





Comments