Mtu ambaye hali chakula kila siku na kwa wakati atakuwa na afya dhaifu, magonjwa ya kila namna yatamshambulia na kumtesa. Vivyo hivyo mtu asipo soma Neno na Kufanya maombi kila siku huyu atapata utapiamlo wa kiroho, hivyo atasukumwa sukumwa na kuangushwa na dhambi kwa urahisi. Ukitaka kumshinda shetani jitahidi uwe msomaji wa Neno na uwe mwombaji kila siku aloo! Ibilisi atakaa mbali na wewe, dhamiria; ipo nguvu ya kukuwezesha kuwa mwombaji na msomaji wa Neno.

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."