WAMAMA AMBAO MMEBARIKIWA HII YA KWENU KUTOKA KWA MAMA YETU.

Wa mama ambao mmebarikiwa, mna maduka Kariakoo, mna Maduka Mwanza, Mna maduka sehemu mbalimbali, mnaenda Dubai, mnaenda China, mmeanza kukosa Uaminifu, hebu ACHENI, hiyo ni dhambi. Hiyo Baraka isikufanye usimuheshimu Mumeo, usimfanye Mumeo housegirl, kama ulikuwa unamuwekea Mumeo Maji endelea kumuwekea, Hela siyo Mume wako, Hiyo ni Maua, najua kuwa MUNGU aliyekupa hizo hela Anakuangalia; Kubali KUBADILIKA, Kubali KUJIREKEBISHA, Acha hiyo Dhambi.

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."