MKESHA WA MWAKA MPYA WA 2015,PRECIOUS CENTER KIBAHA

Watumishi wa Mungu wakipongezana kwa kufkia mwaka mpya 2015 mwaka wa Mtembeo wa Mungu

 Waziri wa maliasili na Utalii Lazaro Nyalando akitoa salamu za Mwaka mpya 2015 kwa wana Efatha hapa Precious Center Kibaha
"Namshukuru sana Mungu na nimebarikiwa sana na walivyo imba waimbaji, Mungu alisema katika siku za mwisho vijana watapata maono. Mungu ameifanya efatha kuwa lango la kubarikiwa Tanzania."

Nina kila sababu kucheza, Acheni nicheze, aliyoyatenda Mungu kwa wana efatha ni makubwa na anayoenda kuyatenda kwa wana Efatha mwaka huu 2015

 Mama Eliakunda mwingira akiongoza maombi...
Mungu wetu upewe sifa mwanaume wa wanaume upewe sifa Efatha mass choir wakimwabudu na kumsifu Mungu. Hakika ni siku ya kipekee sana hasa kwa waliopata kibali kuwepo mahali hapa


Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."