IBADA KUU TAREHE 11/01/2015 EFATHA MWENGE.

Mch. Victor Gasper Malamla akifundisha katika ibada ya pili Efatha Mwenge Dar es salaam
Efatha Mass choir wakimtumikia Mungu kwa uimbaji mkuu.

 Bwana Emilot ambaye amemwamini Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, na maono ya mke aliye muoa aliyapata hapa Efatha na mke wake kujifungua salama aliamua kuchora picha ya Mtumishi na leo alikuja kumpa zawadi kama shukrani.

 Watumishi wa Mungu wakifuatilia mafundisho katika ibada ya leo


Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."