SHUHUDA:

Dorcas Jackson
Kutoka Eneo la Upendo.
Ushuhuda

Dorcas Jakson kutoka upendo napendA kumshukuru Mungu ilikuwa mwaka 2008 nimemaliza form four sikupata credit moja na nilikata tama katika ule mwaka nilipokuwa kwenye ibada jumapili moja mtumishi wa mungu alitangaza kwamba kuna binti anataka kufika chuo kikuu baada ya mwaka ule nilipata niliendelea na advance level na nilipata division one katika wasichana wote tulikuwa wawili tu tilofaulu. ulipofika mwaka wa pili ilikuwa na changamoto kubwa nilipokuwa najiandaa field ilikuwa mwezi wa 9 nilipata changamoto sana kwani kila Mwalimu alikuwa ananitaka nilipata bahati ya mtumishi wa mungu akasema nitakuwa wakwanza na ninaomba kwaajiri yake akasema bwana yesu ninaomba nimwongoze kwa mwanafunzi huyu na baada ya maombi hayo Mtumishi wa Mungu mimi nilikuwa nakubarika na katika watu

wanaotakiwa kupeleka repoti nilikua peke yangu na kuna wanafunzi wako wengi lakini mimi niliona ni kibari kwa mungu alinitetea lakini Yule mwalimu aliendelea kuniambia maneno ya ajabu lakini ninamshukuru Mungu kwani  na katika ile ripoti nilipewa A. 

Comments