Njiambatanishe na Yesu.

Ukijiambatanisha na Yesu magonjwa yanakuwa mbali nawe, kila aina ya TABU inakaa mbali nawe.
Kama uko katika Huduma furani mahali unapoabudu, jiambatanishe na madhabahu ya mahali hapo,usiangalie kushoto wala kulia, usiwe na mawenge,Tulia mahali ulipo, uwe na Adabu na sehemu unapoabudu, na kuhakikishia utamwona Mungu.

Comments