Neno La leo na Mchungaji Aimana.

NENO LA JUMAPILI NA MTUMISHI WA MUNGU AIMANA DOMINIC

Mwanzo 4:7a. kama ukitenda vyema hutapata kibari? angalia ushuhuda wa huyu dada kwamba aliona hana haja ya kusema  atafauru lakini alijifuta mwenyewe. mangapi yametamkwa kwenye madhabahu ya Mungu lakini kwako hayajatimia kwa sababu tunashindwa kujitakia mema? Kama yale yaliyo tamkwa kwangu na tungeyatakia mema yale tungekua mbali. Nipo hapa kukukumbusha achana na zile nyaraka ambazo zimeandikwa na wanadamu angalia nyaraka za kwenye Bibilia.

Tukiamua kubadilika tukabeba nyaraka za madhabahuni tutakua na ushuhuda kabla mwaka haujaisha. Nenda katafute Yule mtu mwenye dhambi anaye jiuza anaye piga miziki disko mlete kwa Yesu wapo tayari wanatusubiri tuwaendee. 


Umepakwa mafuta ya Roho Mtakatifu je unayatendea mema yale mafuta? kwenye kamati haupo ivi hayo mafuta yako unayatendea mema. Sababisha mchungaji wako wa kituo afurahi angalia unaweza kufanya nini hemani mwa bwana fanya usababishe Yesu afurahi. 

Comments