Sifa kwa Bwana Yesu

We ni baba hakuna Mungu kama wewe, wewe ni baba Hakuna Mungu kama wewe...utukuzwe baba, muumba wa miisho yote ya Dunia, Mwanzo tena Mwisho, Jabali letu, mwamba wenye imara, Pembe ya wokovu wetu. tunakuimbia.haleluyah ,Mungu wetu Mzuri saaana. Mzuri wewe kwetu. Baba yetu hakuna kama wewe. ulituumba sisi sifa na utukufu ni kwako.AaaaaaMen!

Comments