SHUHUDA IBADA YA TATU JINA : ANNA VALENTINO Namshukuru Mungu nimekuja hapa Efatha nikaokoka nikasoma madarasa ya kukulia wokovu nilikua naumwa mwili mzima ila tumbo lilikuwa linanisumbua mpaka nikawa siwezi kubeba ndoo kubwa, pia nilikuwa siwezi kulala na tumbo lakini sasa tangu nimekuja hapa Efatha na nashukuru mwili umepona napia naweza kubeba ndoo kubwa, napia napenda kuwashukuru watu wa Tumaini walionyesha upendo wao kwangu hawakuniacha waliniombea na kunitia moyo, nawashukuru sana Mungu awabariki sana.

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."