Wana wa Mungu Karibuni Katika Kipindi Cha Mchana.

Kusanyiko Kuu La Bwana Mungu wetu Mkuu, Yesu Anakupenda sana, yesu anakupenda, Mungu Ameamua Kukukumbatia wewe Mwanae, Njoo Karibu Yake, Mkaribie sasa Uone Upendo wake kwako, Mungu Baba YETU Ameongea Na Mtumishi wake Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira Kuwa "Mungu Baba anataka kuwakumbatia wanawe Njoo sasa"

Kwa wale ambao bado Hamjafika Mahali hapa. Popote Pale Mlipo Ulimwenguni, Unaweza Mkajiunga Live toka Mji wa Bwana Efatha Kibaha Preciuos Center"Live streaming kupitia www.mixlr.com/efatha
Mungu Awabariki sana.



Evangelist Chuks (Mwanamuziki wa Nyimbo za Injili)akimwimbia Bwana Mungu wetu Nyimbo za sifa, na wana wa Mungu wakifurahia na kumchezea Bwana.


Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."