Muulize Jirani yako: JE BWANA YESU Akirudi sasa, Je UTANYAKULIWA? Katika kujibu hilo swali, jiulize haya: 1. Je una deni lolote?, Unadaiwa deni lolote? 2. Toka Mwaka huu uanze Umewafanyia nini Wazazi wako? Toka Mwaka huu uanze Umewafanyia nini Wakwe zako? Toka Mwaka huu uanze umewafanyia Wazazi wako wa Kiroho (Baba yako wa Kiroho)? 3. Umelipa Zaka zako zote? Hujasahau kulipa Zaka zako? Hujaiba Zaka? Hujamuibia MUNGU Zaka? 4. Unawasikiliza Watumishi wake? Unamsengenya Mtumishi wake? 5........... :Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira. --------------------------------------------------------------------------------------------- Moja kwa Moja "LIVE- SIKU YA NNE" toka EFATHA Kibaha Precious Centre-Tanzania pia LIVE STREAMING kupitia Simu yako ya Mkononi na Mtandao (Internet).

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."