Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira na Mama Elikunda Josephat Elias Mwingira, wakiwa Madhabahuni wakipokea Maandamano ya Wana wa MUNGU.
Unapokaa ndani yake Kristo Lile pendo la kristo linahamishiwa kwako.unakuwa na ule upendo wa Kristo. 1.Tutashika amri zake Yesu 2.Tukikaa ndani ya Yesu atatundea mema 3.Hatutasengenyana, tutasaidiana, tutakuwa na Umoja 4.Yesu atatuombea kwa Baba wetu wa Mbinguni.
Comments
Post a Comment