Moja Kwa moja "Live-Siku ya Tatu" tok Efatha Kibaha Precious Center-Tanzania) pia Live Streaming kupitia Simu Yako ya Mkononi na Mtandao(Internet) kupitia www,mixlr.com/efatha
Unapokaa ndani yake Kristo Lile pendo la kristo linahamishiwa kwako.unakuwa na ule upendo wa Kristo. 1.Tutashika amri zake Yesu 2.Tukikaa ndani ya Yesu atatundea mema 3.Hatutasengenyana, tutasaidiana, tutakuwa na Umoja 4.Yesu atatuombea kwa Baba wetu wa Mbinguni.
Comments
Post a Comment