Kumbuka ROHO MTAKATIFU Anaweza kuondoka, kumbuka UTAKATIFU ni Tabia ya MUNGU wa Mbinguni, huwezi kutenganisha UTAKATIFU na MUNGU, kama ukiwa una chembe chembe za dhambi, basi wewe ni AGENT (wakala) wa shetani...." MAFUNDISHO (yamekwisha anza Asubuhi hii na Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira) Moja kwa Moja "LIVE- SIKU YA PILI" toka EFATHA Kibaha Precious Centre-Tanzania)

Comments