Breaking News: Tunamshukuru MUNGU wetu MKUU, ambaye ni BABA yetu KIPENZI kwa Baraka na Zawadi nyingine ya kutupa Watoto wawili (2) muda huu hapa katika KUSANYIKO KUU lake TAKATIFU, Mmoja wa Kiume na Mwingine wa Kike (Mapacha). Kwa hiyo Jumla wamefikia watoto Kumi na saba (17). Hii ni ISHARA YA NINI? UFUNUO wa Watoto kumi (10) wa Kiume FUNGU LA KUMI UMETIMIA, MUNGU Wetu na BABA yetu AMETHIBITISHA KUWA "Wanawake ambao HAWANA Watoto, WANAENDA KUZAA, na VIUNO ambavyo (Wakina Baba) HAVIJA TOA Watoto, VINAENDA KUTOA WATOTO, Viuno hivyo VIMEKOMBELEWA

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."