Breaking News: Tunamshukuru MUNGU wetu MKUU, ambaye ni BABA yetu KIPENZI kwa Baraka na Zawadi nyingine ya kutupa Watoto wawili (2) muda huu hapa katika KUSANYIKO KUU lake TAKATIFU, Mmoja wa Kiume na Mwingine wa Kike (Mapacha). Kwa hiyo Jumla wamefikia watoto Kumi na saba (17). Hii ni ISHARA YA NINI? UFUNUO wa Watoto kumi (10) wa Kiume FUNGU LA KUMI UMETIMIA, MUNGU Wetu na BABA yetu AMETHIBITISHA KUWA "Wanawake ambao HAWANA Watoto, WANAENDA KUZAA, na VIUNO ambavyo (Wakina Baba) HAVIJA TOA Watoto, VINAENDA KUTOA WATOTO, Viuno hivyo VIMEKOMBELEWA

Comments