Breaking News: Mtoto mwingine amezaliwa katika Kusanyiko hili la BWANA, Mtoto wa Kiume, sasa Jumla wanakuwa Watoto wa Kiume 10 (hili TENDO ni la UFUNUO, maana ya Watoto hawa Kumi (10) ni FUNGU LA KUMI na ISHARA ya KUWAFUNGULIA, KUWALETEA WATOTO WALE WASIO ZAA). Jumla sasa ni Watoto Kumi na tano (15), na wale wa Kike Watano (5), maana ya hawa Watano ni nini? Hawa maana yake ni Mabinti watano Bikira, wale wenye HEKIMA waliobeba Mafuta katika Taa zao.Moja kwa Moja "LIVE- SIKU YA SABA" toka EFATHA Kibaha Precious Centre-Tanzania pia LIVE STREAMING kupitia Simu yako ya Mkononi na Mtandao (Internet) .... Ungana nasi LIVE STREAMING :www.mixlr.com/efatha

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."