EFATHA MINISTRY -KENYA

Haleluya, MUNGU wetu ni Mzuri, YESU wetu ni Mzuri, ROHO MTAKATIFU wetu ni Mzuri, Haleluya... Ibada jana ilikuwa nzuri sana, Wenzetu wa Kenya nao waliungana katika Kumtukuza na Kumuabududu BABA YETU MUNGU wetu, MUNGU MKUU MUNGU wa EFATHA katika Ibada nzuri yenye Uwepo na Utukufu wa MUNGU wetu, Haleluya, SIFA na UTUKUFU ni kwake YEYE BWANA na MUNGU wetu, Aliye MWANZO na MWISHO, Haleluya.

Pichani: Ibada ikiendelea jana (tarehe 29/June/2014) ikiongozwa na Mtumishi wa MUNGU Alex Muigah- Kanisa la Efatha Ministry Nairobi Town Centre

 Pichani: Mwana wa MUNGU Mwana Efatha, akiongea mbele ya Wana wa MUNGU kuwa atamsaidia na kumlea huyo baba pichani ambaye aliamua Kumpokea BWANA wetu YESU KRISTO, Kanisani jana Efatha Ministry Nairobi Town Centre.

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."