Uzao wa kishezi hauna adabu, hauna heshima. Ukimpa madaraka uzao wa kishenzi jambo la kwanza kwake litakuwa ni kuangalia hapo Officini achukue nini. Uzao wa kishenzi mfano akiwa dereva, akienda garage ataongea na kijana wa garage na kumwambia chukua matairi haya mazima, chukua spare hizi nzima nenda kauze na funga mbovu, Huyu ni wa uzao wa kishenzi.: Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

Comments