IMANI

Imani chanzo chake ni kusikia, kusikia nini? Kusikia HABARI NJEMA. Sasa si kila Muhubiri amebeba Habari Njema, narudia, YESU alisema Neno la ajabu sana, alisema, “Mtawatambua kwa matendo yao”. Si kila Muhubiri amebeba Habari Njema, Si kila ...Muhubiri ana Habari njema, TAFADHALI uliweke hilo.
Paulo kwa kusisitiza hilo anasema, “Wengine wanahubiri wakilenga kuongeza maumivu katika Utumishi wangu lakini hata hivyo Injili inahubiriwa”. Kwa hiyo watakuwepo wahubiri ambao kazi yao si kujenga Imani.: Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

Comments