IMANI

Imani chanzo chake ni kusikia, kusikia nini? Kusikia HABARI NJEMA. Sasa si kila Muhubiri amebeba Habari Njema, narudia, YESU alisema Neno la ajabu sana, alisema, “Mtawatambua kwa matendo yao”. Si kila Muhubiri amebeba Habari Njema, Si kila ...Muhubiri ana Habari njema, TAFADHALI uliweke hilo.
Paulo kwa kusisitiza hilo anasema, “Wengine wanahubiri wakilenga kuongeza maumivu katika Utumishi wangu lakini hata hivyo Injili inahubiriwa”. Kwa hiyo watakuwepo wahubiri ambao kazi yao si kujenga Imani.: Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."