EFATHA MINISTRY - Kenya: Mchungaji Kiongozi wa Efatha Ministry Kenya Mch. Betson Kikoti pichani akiongoza Ibada leo jioni (tarehe 24/6/2014) katika Kanisa la Mjini Nairobi City Centre (Efatha Ministry Nairobi City Centre)... Je na wewe Uliweza kuhudhuria Ibada ya Zone? BWANA Awe nanyi wana wa MUNGU wana Efatha Kenya, na MUNGU wetu MKUU, MUNGU wa Efatha akawalinde na kuwa pamoja nanyi. (10 photos)




Comments

Post a Comment