MWEZI WA MAOMBI NA KUFUNGA 2014: Mwezi wa tano ni mwezi wetu Wana wa MUNGU wana Efatha wa Kufunga na Kuomba, tunamshukuru BWANA na MUNGU wetu MKUU kwa Neema kubwa hii aliyotujalia wanawe, leo ni Siku ya Kwanza ya Maombi na Kufunga kwetu kwa BWANA kwa Wana Efatha wote ndani na nje ya Tanzania, maombi yalikukwa mazuri na matamu na Uwepo wa NGUVU YA ROHO MTAKATIFU ilitawala, kesho tunaendelea kama kawaida jioni saa kumi Maombi Kanisani, USIKOSE Mwana wa MUNGU, Ubarikiwe. (Pichani: Mchungaji wa Eneo la Nazareth Mch. Mdadila akifungua Ibada ya Maombi, Kanisani Efatha Mwenge, Dar es Salaam-Tanzania, picha zingine zinaonyesha Idadi ya watu wengi waliofika Ibadani kwa ajili ya kuanza Maombi katika Mwezi wetu huu wa May/2014.

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."