Mtoto mpotevu aliporudi, alijiuliza kwanini nile na nguruwe, alirudi kwa baba yake, baba yake alimpokea kwa furaha zaidi. Sisi ambao tumeitwa Wana wa Imani lazima tuwabebe watu wasio na Imani tuwapende na tufanye kazi ya kuwaombea. Jinsi tunavyoendelea KUOMBA katika mwezi huu wa Maombi ndivyo MUNGU anavyozidi kutuinua na kuona MKONO wake na Machungu ya Watoto YATAISHA, machungu ya Wazazi YATAISHA, machungu ya maisha magumu YATAISHA, maana kutakuwa na FURAHA YA KUFURAHISHA. Najua siku ile ikifika utamwambia Mtumishi wa MUNGU asante kwa KUNIOMBEA, asante kwa KUNIONYA, asante kwa KUNIBEBA, leo unaona kama NAKUKOSEA lakini ile siku ikifika utasema ASANTE kwa kuniombea. : Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."