Kwaya ya "Efatha Ministry Mass Choir" Mwenge Dar es Salaam, wakiwa katika Kumuinua na Kumtukuza na Kumuabudu na Kumchezea YEYE aliye BWANA na MUNGU wetu MKUU jana Ibadani.
Unapokaa ndani yake Kristo Lile pendo la kristo linahamishiwa kwako.unakuwa na ule upendo wa Kristo. 1.Tutashika amri zake Yesu 2.Tukikaa ndani ya Yesu atatundea mema 3.Hatutasengenyana, tutasaidiana, tutakuwa na Umoja 4.Yesu atatuombea kwa Baba wetu wa Mbinguni.
Wow
ReplyDelete