Je unaandaa Moyo wako kwa ajili ya Kukutana na BWANA siku ya Jumamosi kwenye Hitimisho la Mwezi wetu huu wa Mafundisho na Maombi? Maombi ya jana tarehe 29.5.2014; Ombi la Kwanza: Nguvu itakayo tupeleka mahali pajuu (ROHO WA KUMCHA BWANA). Ombi la Pili : Nguvu inanipa kujengwa ( ROHO WA SHAURI). Ombi la Tatu: Nguvu ya Mungu itakayo tuwezesha kupata matarajio yetu (ROHO WA KUMCHA BWANA). Imani yako inakwenda na Ibada, unahitaji ROHO wa kumcha BWANA ili ufikie matarajio yako. Watu ambao hawajaokoka wanafanya matambiko wanatoa watoto wao na binti zao sadaka kwa mashetani. LEO TUNA MWAMBIA MUNGU WETU TUMEKUBALI KUMUABUDU YEYE MUNGU WA KWELI.

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."