Bado Masaa... MUNGU wetu na BWANA wetu YESU KRISTO wamemwagiza Mtumishi wa MUNGU Mkalimani wetu Baba yetu wa Kiroho Mtume na Nabii Mambo Makubwa na Makuu kwa ajili ya Ibada ya Kesho Jumamosi, MUNGU wetu MKUU Anataka kuonyesha Upendo wake MKUU kwetu, Amefurahi nasi katika Mafundisho haya na Maombi haya katika Mwezi wetu huu wa Mfungo, USIJICHAFUE Moyo wako Mwana wa MUNGU, Kuwa SAFI, Endelea kuandaa MOYO WAKO, YESU wetu ANATUPENDA SANA, Uwe tayari Umuone kesho...Haleluya.

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."