Ni jumapili Nyingine tena watu wa mungu, tuende mbele za mungu wetu, kwa sifa na shukrani, tukimshukuru kwa wiki nzima yote, ametuongoza, ametulinda, na ametufanya tuione tena siku hii ya leo, amka na nyumba yako ukajumuike na Wana EFATHA Tanzania na Nje ya Nchi ukapate mbaraka wako USIKOSE mwana wa mungu mpendwa! Mungu akubariki sana!

Comments