DARASA/CHUMBA CHA MAFUNDISHO: ''Mkalimani Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY. (Darasa linaendelea lilipoishia...) "Hebu angalia midomo yako imesema nini na nini? Umekiri nini na hujatimiza, umedanganya mbele ya MUNGU aliye HAI. Ni vizuri angalia hicho kinywa hakijaropoka chochote. Biblia inasema, “Mpende jirani yako kama nafsi yako”, hivyo kabla hujampenda mtu anza kujipenda mwenyewe. Kama wewe unateseka ni ngumu kumsaidia mwingine. Kama unahubiri Baraka, lazima tuzione hizo Baraka kwanza kwako ndipo tupokee na sisi. Ukidhamiria ndani ya moyo wako na kuyatendea kazi haya uyasomayo, YEYE ni wa KWELI na ATAKUWEZESHA kuijua KWELI na Ukishajua KWELI utakuwa HURU KWELI KWELI."" (Darasa linaendelea...)

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."