Aliteswa ili tuwekwe huru, Tuna kila sababu ya kuliadhimisha Jina la Yesu. JINA LIPITALO MAJINA YOTE, Alituondolea huzuni,mateso yote,mahangaiko yote, shida zote,vilio vimekoma,hakuna kuguna tena,akaichukia aibu yetu,ule uhitaji wetu, umaskini, udhaifu wetu, TUKAWEKWA HURU NA HURU KWELIKWELI, AMEN!

Comments