SAFARI KUTOKA NCHI TAKATATIFU ISRAEL

Pichani baadhi ya Ndugu, Jamaa na Marafiki pamoja na Watumishi wa MUNGU na Wana wa MUNGU wakiwa Uwanjani tayari kuwapokea Wenzetu toka Israel.

Pichani Mtangazaji wa Kituo cha Television cha EFATHA MINISTRY (TRENET Television) nao hawakuwa nyuma kurekodi na kurusha kilichokuwa kinaendelea Uwanjani hapo.





 Pichani Familia, Ndugu, Rafiki wakiwa na furaha kuwapokea Familia zao Wana wa MUNGU walipokuwa wakiwasili.

 Pichani Msafara ulianza kuelekea Kanisani EFATHA MINISTRY Mwenge.


 Pichani TRENET na EFATHA MINISTRY ICT hawakuwa nyuma nao katika kupata yote yaliyokuwa yakiendelea... wakiwa njiani wakielekea na Masafara Kanisani Efatha Mwenge.

 Pichani Watumishi wa MUNGU wakiwa wamejipanga kwa Furaha Kanisani EFATHA MINISTRY Mwenge (Sehemu ya Jengo la Ofisi Kuu) tayari kumpokea Mtumishi wa MUNGU Mkalimani wetu Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira.

Haleluya... pichani Baba yetu wa Kiroho Mtumishi wa MUNGU Mbeba KUSUDI Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira akiwasili kanisani EFATHA MINISTRY Mwenge (Sehemu ya Kuingilia Ofisi Kuu Lounge) akipokelewa na Watumishi wa MUNGu Wachungaji na Wafanyakazi wa Ofisi Kuu.

 

 Pichani Mtumishi wa MUNGU Mama Eliakunda Josephat Elias Mwingira, akipokelewa kwa Furaha na Watumishi wa MUNGU Wachungaji na Wafanyakazi wa EFATHA MINISTRY Ofisi Kuu Mwenge, Haleluya...!

 Pichani Mtumishi wa MUNGU Mkalimani wetu Mbeba KUSUDI Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira akiwapungia Mkono na kuwasalimia Wana wa MUNGU kwa Furaha KUU wakati akiingia Ibadani.

 

Comments