IBADA KUU JUMAPILI 30/3/2014

Kipindi cha Shuhuda, Wana wa MUNGU walitoka mbele kushuhudia Matendo Makuu ya MUNGU Wetu MKUU Aliyowatendea katika Maisha yao...

 Wana kwaya "Mass Choir" wakiwa katika Uwepo wa ROHO MTAKATIFU MUNGU wakiimba na kuwasogeza Wana wa MUNGU mbele za BWANA

Kipindi cha Shukrani, Mwenyekiti wa Kamati wa za Kusanyiko Eng. Mwanukuzi alitoka mbele na Kamati yake ya Kusanyiko, kuja kutoa Shukrani kwa MUNGU BABA Yetu MKUU kwa yote Mema na Mambo Makuu Waliyotendewa toka walipoaminiwa na kukabidhiwa Jukumu hilo la kusimamia Kusanyiko, pia walikuja na Zawadi kwa Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira zawadi ya Kiti na Meza

Kamati ya Kusanyiko wakitoa Zawadi na kumkabidhi Mtumishi wa MUNGU Mama Eliakunda Josephat Elias Mwingira kwa niaba ya Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira.

 

Comments