IBADA KUU JUMAPILI 30/3/2014

Kipindi cha Shuhuda, Wana wa MUNGU walitoka mbele kushuhudia Matendo Makuu ya MUNGU Wetu MKUU Aliyowatendea katika Maisha yao...

 Wana kwaya "Mass Choir" wakiwa katika Uwepo wa ROHO MTAKATIFU MUNGU wakiimba na kuwasogeza Wana wa MUNGU mbele za BWANA

Kipindi cha Shukrani, Mwenyekiti wa Kamati wa za Kusanyiko Eng. Mwanukuzi alitoka mbele na Kamati yake ya Kusanyiko, kuja kutoa Shukrani kwa MUNGU BABA Yetu MKUU kwa yote Mema na Mambo Makuu Waliyotendewa toka walipoaminiwa na kukabidhiwa Jukumu hilo la kusimamia Kusanyiko, pia walikuja na Zawadi kwa Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira zawadi ya Kiti na Meza

Kamati ya Kusanyiko wakitoa Zawadi na kumkabidhi Mtumishi wa MUNGU Mama Eliakunda Josephat Elias Mwingira kwa niaba ya Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira.

 

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."