''Tabia za Upendo zikoje? 1 Wakorintho 13:1-8. Usiangalie makosa, achana na hiyo diary ya kuandika makosa, unaanda kifo cha kukua mwenyewe. MUNGU Ametupa KUSAHAU, sasa Wewe ukiandika makosa, Ukahesabu mabaya, si unajisababishia Kutosahau?, unahesabu la jana, juzi,… Watu ambao hawasalimii wenzao wanahesabu mabaya, kama uhesabu ukimwona unamwambia waooo, huo ndio UPENDO. Tengeneza MARAFIKI, usitengeneze maadui, ata kama unakumbuka, wewe ukimwona Msalimie “waoooo”.''

Comments