''UFAHAMU ni kwa UTUKUFU WA MUNGU, na Ukipata Ufahamu ni rahisi kuponyeka. Maombi sio kwamba ndio yatakufanya Kupokea, BALI NI UELEWA WAKO, UMEELEWA NINI WEWE. Maombi ya Mtu mwenye UFAHAMU ni Mafuta, Ni Manukato kwa MUNGU.'' : Apostle & Prophet Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY (Baadhi ya Nukuu za Mahubiri ya jana Ibadani Tarehe 05/January/2014)


Comments