SHUHUDA ZA JUMAPILI YA TAREHE 26th JANUARY 2014 Mungu wetu ni mkuu sana, Mungu wetu ametukubali kwani tumepata kibali na watumishi wa Mungu kama wanavyo onekana mioyo yao inashukrani na wengi wao wamepata watoto wengine watoto wao walikuwa wanaumwa tangu kuzaliwa kwao lakini sasa hivi wana moyo wa shukrani Binti yao anatembea pia kuna Mtumishi wa Mungu anamshukuru Mungu kwani anamiaka 10 ya wokovu miaka 7 ya utumishi na miaka 6 ya ndoa hawana zaidi ya kumpatia Mungu zaidi ya Kumshukuru Mungu. “Mungu hana Upendeleo” Mungu hajakuacha na wewe msongeree naye atakupa KIBALI AMIN!!



Comments