SHUHUDA ZA JUMAPILI YA TAREHE 26th JANUARY 2014 Mungu wetu ni mkuu sana, Mungu wetu ametukubali kwani tumepata kibali na watumishi wa Mungu kama wanavyo onekana mioyo yao inashukrani na wengi wao wamepata watoto wengine watoto wao walikuwa wanaumwa tangu kuzaliwa kwao lakini sasa hivi wana moyo wa shukrani Binti yao anatembea pia kuna Mtumishi wa Mungu anamshukuru Mungu kwani anamiaka 10 ya wokovu miaka 7 ya utumishi na miaka 6 ya ndoa hawana zaidi ya kumpatia Mungu zaidi ya Kumshukuru Mungu. “Mungu hana Upendeleo” Mungu hajakuacha na wewe msongeree naye atakupa KIBALI AMIN!!



Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."