SHUHUDA SHUHUDA SHUHUDA: ASTELIA CHILAMBO, ZONE YA MBEZI BEACH B’ Anamshukuru MUNGU kwa kumponya mateso ambayo alikuwa anayapata kwa kuumwa mara kwa mara, kwa muda mrefu alikuwa akiteseka kwa magonjwa alikuwa akienda shuleni mama yake alikuwa anapigiwa simu kuwa mwanae anaumwa, mara nyingine ata usiku wa manane, mateso haya yalikuwa ni kawaida kwake toka baba yake alipofariki mwka 2007 (Wanasema baba yake alikuwa anampenda sana). Jumapili moja alikuja Kanisani Ibadani, akapata Neema ya kukutana na Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii, Mtumishi wa MUNGU akamwambia achemshe maziwa na anywe kwani alikuwa hanywi maziwa kutokana na vidonda vya tumbo, akanywa maziwa, baada ya hapo Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii alimpa maji na kumuambia anywe kidogo kidogo, HALELUYA UTUKUFU KWA MUNGU WETU JUU, toka hapo akawa amepona kabisa. Baada ya hapo alirudi shuleni lakini akawa anawaza sana kuhusu Mitihani kwani kabla ya Kuombewa na Mtumishi wa MUNGU alikuwa ana kipindi hajahudhuria masomo shuleni, kwa hiyo alikuwa anawaza kuhusu atafanyaje mitihani, lakini akamuomba MUNGU somo la Chemistry aweze kufaulu, HALELUYA MUNGU WETU NI MZURI, MUNGU wetu Alifanya Matendo yake MAKUU Astelia akawa wa kwanza katika Shule zote walizo kuwa wakishindanishwa katika hilo Somo la Chemistry. HALELUYA sasa Astelia Ni MZIMA wa Afya Njema na Anafanya VIZURI katika Masomo yake, SIFA KWA BWANA WETU YESU KRISTO ALIYE HAI ALFA na OMEGA, Asante YESU BWANA kwa KUTUPENDA SANA na Ukatupa KUSUDI HILI (EFATHA: Uponyaji na Ukombozi, Watu WAWEKWE HURU), Asante YESU, Tunakupenda BWANA, Asante. (Na Wewe uko unayeteseka, Jua KWAMBA YESU Anakupenda sana, YESU Anakuambia NJOO SASA, Naye ATAKUWEKA HURU, ANAKUPENDA, Njoo kwa YESU)


Comments