MIUJIZA ni kwa ajili ya WASIOOKOKA (ili wakiona WAAMINI MUNGU YUPO), na NENO ni kwa ajili ya WALIOOKOKA maana wanapata Chakula cha kuwatia AFYA na NGUVU ya KUMKIMBIZA shetani, Waliookoka waana KIBALI cha Kumkimbiza shetani.: Apostle & Prophet Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

Comments