KIBALI: Kuwepo kwetu Duniani ni KIBALI toka kwa MUNGU. Kuzaliwa kwako kwa kupitia tumbo la huyo Mama na kiuno cha huyo Baba ni KIBALI. MUNGU ALIWARIDHIA wao wakuzae Wewe, kwa njia gani, kwa namna gani MUNGU Anajua. Ulizaliwaje liwaje ISIKUSUMBUE, kwamba walikuwa na Dini, Imani MUNGU Aliwaridhia, MBEGU ilitoka ikaingia ukatokea. Kuna watu wanafanya uasherati toka asubuhi hadi usiku, wengine wameoana na watakatifu lakini hawajapata Mtoto; Ila Wewe ULIZALIWA,....: Apostle & Prophet Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY, sehemu ya Mahubiri ya Jumapili jana tarehe 26/Jan/2014; (Mahubiri kamili yatapatikana kwenye Website yetu www.efathaministry.org, na kwenye Youtube yetu www.youtube.com/efathaministry pamoja na kwenye Blog yetu www.efathaministrypage.blogspot.com, Mbarikiwe wana wa MUNGU).


Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."