KIBALI: Kuwepo kwetu Duniani ni KIBALI toka kwa MUNGU. Kuzaliwa kwako kwa kupitia tumbo la huyo Mama na kiuno cha huyo Baba ni KIBALI. MUNGU ALIWARIDHIA wao wakuzae Wewe, kwa njia gani, kwa namna gani MUNGU Anajua. Ulizaliwaje liwaje ISIKUSUMBUE, kwamba walikuwa na Dini, Imani MUNGU Aliwaridhia, MBEGU ilitoka ikaingia ukatokea. Kuna watu wanafanya uasherati toka asubuhi hadi usiku, wengine wameoana na watakatifu lakini hawajapata Mtoto; Ila Wewe ULIZALIWA,....: Apostle & Prophet Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY, sehemu ya Mahubiri ya Jumapili jana tarehe 26/Jan/2014; (Mahubiri kamili yatapatikana kwenye Website yetu www.efathaministry.org, na kwenye Youtube yetu www.youtube.com/efathaministry pamoja na kwenye Blog yetu www.efathaministrypage.blogspot.com, Mbarikiwe wana wa MUNGU).


Comments