Kelele haiji ulizaliwa vipi, inakuja unamalizia vipi Safari yako ya kuishi. Kwamba baba yako anaitwa nani haikusaidii. Vyovyote ulivyozaliwa isikusumbue (kwamba mama yako alibakwa, alidanganywa, chipsi zilizasababisha, lifti ilisababisha, iwe stendi ya basi n.k., vyote visikusumbue), la msingi angalia jinsi gani UNAVYOSONGA MBELE. Hakuna hata mmoja atakayetaka azaliwe na nani. BABA wa Mbinguni ndiye Asili ya kuzaliwa kwetu. ASILI yako wewe ni MUNGU, ndio maana wewe ni MALI YA MUNGU.: Apostle & Prophet Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.


Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."