umewekwa juu pamoja naye (YESU KRISTO Bwana wetu) katika Ulimwengu wa Roho. Kwa hiyo tumeketishwa na MSHINDI, hapa hoja ni USHINDI. Kanisa la YESU KRISTO lazima liweke Records (kumbukumbu), Usiishi kama msindikizaji... lazima Uweke records, wewe ni Mshindi, Sisi tunaomwamini YESU KRISTO Tunao USHINDI.

:- Apostle & Prophet Josephat Elias Mwingira.

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."