CHAKULA CHA ROHONI

umb 29:29 “Mambo ya siri ni ya BWANA MUNGU wetu; lakini mambo yaliyofunuliwa ni yetu na watoto wetu milele, ili tufanye maneno yote ya sheria hii. Mambo ya siri ni ya BWANA, wana wa Israeli walipokuwa utumwani Misri walitumikishwa na kuteseka sana lakini walipokuwa njiani wakiongozwa na Musa, kwa shida ndogo walitamani kurudi Misri (walitamani mambo ya nyuma, maisha ya nyuma). Kama HUJAKOMBOLEWA unawaza mambo matatu tu, KULA, KUVAA na KULALA. Wezi wote wala rushwa, mafisadi wanaiba ili Wale, Wavae vizuri na kujenga Majumba ya kifahari ili Walale. Huyu bado hajakombolewa. :- Apostle & Prophet Josephat Elias Mwingira.

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."