SIKU YA KUJONGEA NYUMBANI MWA BWANA (ya kumsikiliza mkalimani wetu)

Wapendwa karibuni  tujongee nyumbani mwa bwana kesho siku ya jumapili,ibada ni kama ifuatavyo:

IBADA YA ASUBUHI-INAANZA SAA MOJA ASUBUHI

IBADA YA MCHANA-INAANZA SAA TANO  ASUBUHI

Karibuni wote!!!

(wawili au watatu wakusanyikapo kwa ajili ya jina langu,nami nitakuwa pamoja nao).

sasa sisi tu zaidi ya watatu je hatoshuka?????

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."