MAHUBIRI

MAHUBIRI: MTUMISHI WA MUNGU Mkalimani Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira kuhusu ''MWAKA WA MASHANGILIO''

''Na huu ndio Mwaka wako, Utashangaa Vifungo vingine vilikuwa havieleweki na Wanadamu, hata Wewe mwenyewe ulikuwa Ukielewi, LAKINI kwa vile Amesema katika Yeremia “Kwamba Macho hayajaona wala Sikio halijasikia Mambo magumu makubwa Usiyoyajua Anaenda kuyaweka Wazi”, na Sasa Utaona Uhalisia wa kuwekwa HURU. Nina Amini kwa Moyo wangu wote, kwa Moyo wangu wote Jambo hili la Wewe kuwekwa Huru, Wengine watakasirika nalo, Wengine Watashangilia nalo. Wakati Mimi nawekwa Huru na Mkandamizo wa Kiukoo, mkandamizo wa Kifamilia, mkandamizo wa Kijamii, mkandamizo wa Kabila, mkandamizo wa Kijiinsia, mkandamizo wa namna nilivyokuwa wakati Unafunguliwa, na Nikawekwa Huru ili kuwa kama Kichekesho.''

(Yataendelea kesho Mwana wa MUNGU, Usikose huu ni MWAKA WAKO WA MASHANGILIO...)


Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."