KUMBUKUMBU YA KUSHEHEREKEA MIAKA 20 YA NDOA YA MTUME NA NABII JOSEPHAT E. MWINGIRA

 

 ''Baba na Mama Watumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat na Mchungaji Eliakunda Elias Mwingira wakiwa ndani Hemani mwa BWANA wakiingia...''

 Watumishi wa MUNGU wakipongezana baada ya Kuvishana pete katika Kusherekea Miaka 20 ya Ndoa Takatifu leo.
 Watumishi wa MUNGU toka nje ya Tanzania (Namibia na Uingereza) wakiwa Hemani mwa BWANA wakishuhudia sherehe ya Miaka ya 20 ya Ndoa ya Watumishi wa MUNGU Mtume na Nabii.
UTUKUFU kwa MUNGU Wetu MKUU




 Mtumishi wa MUNGU Mark Kariuki akihubiri katika Ibada hii,...

.
 Wazazi wa Mtumishi wa MUNGU na Watoto wa Mtume na Nabii wakifuatilia Ibada hemani mwa BWANA.
 Pete zikiwa ndani ya Mafuta Matakatifu toka Isreal ya Mizeituni yakiyokwisha Ombewa tayari kwa ajili ya Ibada hii ya Kumbukumbu ya Miaka 20 ya Ndoa ya Watumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat na Mchungaji Eliakunda Elias Mwingira leo (sasa hivi Ibada inaendelea) tarehe 23 November 2013 Efatha Mwenge Dar es Salaam, Tanzania.


 Baba Mzazi na Mama Mzazi wa Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii, wakiwashika mikono na kutoa Salamu za Pongezi kwa Watoto wao.



Comments