SIKU YA TANO YA KUSANYIKO LA EFATHA 2013

Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira akimkaribisha Mtumishi wa MUNGU toka Uingereza kwa ajili ya kutupatia NENO la MUNGU,... Asante YESU BWANA hata kwa kuwaleta Watumishi wako wengine toka sehemu mbalimbali za Dunia kwa ajili ya kutupa CHAKULA CHA KIROHO Wanao, Asante YESU, Asante BWANA Kwa UPENDO Wako kwetu Wanao, Asante BWANA.

Asante BWANA Wetu YESU KRISTO BWANA, Kwa Kumchagua Mtumishi wako Mwaminifu Uliyempenda sana kumpa na KUMTUMA na Kumpa KUSUDI ili Aliandae Kanisa lako Tayari kwa Unyakuo, Kanisa lisilokuwa na Manyaaa,... Asante BABA, Asante YESU.



''Kabla ya Mkutano huu/ Kusanyiko hili kuisha, Matatizo yenu, Vilio vyenu vyote vitakwisha...."

(Kipindi cha Mahubiri na Mafundisho Sasa hivi kinaendelea kutoka Kusanyiko la BWANA MUNGU Wetu MKUU 2013 katika Mji wa BWANA Kibaha Precious Centre).

  


''Wewe ndiwe MPENZI WA MOYO WANGU, Ulifanya njia Jangwani, Huwezi KUSHINDWA, Wewe ni MUNGU BABA, Wewe Unabaki vile vile ni BWANA, BABA Unastahili KUINULIWA JUU,.... Tunaungana na WAZEE 24 kule Mbinguni, tunasema WEWE NI BWANA, Wewe ni BABA, Ooooh Wewe ni MUNGU, Haleluya..... BABAAAAA.''

(Kipindi cha Sifa na Kuabudu Sasa hivi kinaendelea kutoka Kusanyiko la BWANA MUNGU Wetu MKUU 2013 katika Mji wa BWANA Kibaha Precious Centre).

Comments