SIKU YA SABA YA KUSANYIKO L EFATHA 2013 (SIKU YA MWISHO Y KUSANYIKO)

 UTUKUFU Wa MUNGU Wetu MKUU, Ulionekana katika KUMTUKUZA na KUMUIMBIA na KUMUABUDU na KUMPA SIFA Kwa Nyimbo zenye UTUKUFU... Oooh Asante YESU, Ilikuwa Amani na Raha tu kwa YESU.


 Usiku wa Mkesha wa KUSANYIKO KUU LA BWANA MUNGU Wetu MKUU PEKEE 2013, Kibaha Precious Centre Mji wa BWANA, (Pichani Wanakwaya wa Mass Choir wakiwa Madhabahuni Wakimwimbia na Kumsifu na Kumtukuza na Kumuabudu na Kumchezea MUNGU WETU MKUU PEKEE, BABA YETU).


Oooh Haleluya, USIKU wa Mkesha wa Kusanyiko KUU la BWANA MUNGU Wetu MKUU umewadia, MUNGU Wetu na BABA Yetu ni MZURI Sana, Hatimaye BWANA Wetu YESU KRISTO Atakuwa nasi Usiku wa leo Akishiriki nasi Karamu ya Chakula cha BWANA (Mwili na Damu ya YESU KRISTO), BWANA Ametuandalia kupitia Mtumishi wake Mwaminifu Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira,... Oooh Asante YESU, Asante BWANA, Asante BABA.


 

 Mtumishi wa MUNGU Mwanamuziki wa Injili wa Nyimbo za Kuabudu na Kusifu toka Uingereza, alikuja na Mtumishi wa MUNGU Rev. Ola-Vincent Odulele,... kwa kweli Tunamshukuru MUNGU BABA sana kwa uwepo wake kipindi hiki cha Kusanyiko KUU hili BWANA MUNGU wetu 2013 hapa Kibaha Precious Centre, Tulisifu na Kuabudu MUNGU Wetu BABA MKUU kwa UTUKUFU Mwingi sana, Haleluya... Asante YESU, Asante BWANA.


 Mtumishi wa MUNGU Rev. Ola-Vincent Odulele kutoka Uingereza, Tunamwambia MUNGU Wetu MKUU BABA Asante sana, Tunamshukuru MUNGU Wetu MKUU kwa kutupatia NENO Zuri kupitia Mtumishi huyu, kwa kweli MUNGU Wetu Anatupenda sana Wanawe, Hapendi tufe kwa magonjwa, Hapendi tupate shida, hapendi Tuhangaike, Hapendi tuwe maskini... Haleluya, Asante YESU, Asante BWANA.


 Haleluya,... Tunamshukuru MUNGU Wetu na BABA Yetu MKUU PEKEE, kwa Wema wake MKUU na UPENDO Mwingi Juu yetu wanawe, kwani Jumapili njema yenye UTUKUFU Mwingi na AMANI iko nasi, Haleluya... BARAKA na NEEMA na USHINDI Ujuu YETU Wanawe, Haleluya.

Leo ni siku ya FURAHA na SHANGWE sana kwetu Wana wa MUNGU Wana Efatha, kwani ndio Siku tunayokwenda kumalizia Kusanyiko KUU la BWANA MUNGU Wetu BABA MKUU mahali hapa Kibaha Precious Centre 2013,... Haleluya.

Pia leo TUNAFURAHA Sana Wana wa MUNGU wana Efatha, kwani TUNAENDA KUSHIRIKI Kalamu ya CHAKULA CHA BWANA WETU YESU KRISTO Pamoja nasi Jioni ya Leo,... Oooh Ni shangwe na Furaha tele, Kwani BWANA AMETURIDHIA Kuwa naye Jioni ya leo Pamoja naye, Na KUSHIRIKI DAMU na MWILI WA BWANA WETU YESU KRISTO, Haleluya... Kweli ni FURAHA KWETU.

Asante BABA, Asante BWANA Wetu YESU KRISTO, Asante ROHO MTAKATIFU Kwa KUTUANDAA.

Comments

  1. Asante Yesu kwa kutupa Apostle & Prophet Josephat E. Mwingira. Tupe kumsikia na kutii yale anayotuelekeza. Amen

    ReplyDelete

Post a Comment