JUMAPILI YA UIMBAJI NA KUCHEZA MBELE ZA BWANA

 
 Kabila la wapogoro wakiimba na kucheza ngoma ya asili yao wakimtukuza MUNGU.



Kabila la Wachaga wakimtukuza MUNGU kwa kuimba na kucheza kwa ngoma ya asili yao ya kichaga,Duhhh kwa YESU raha sanaaa vya mwilini tukivirudisha rohoni mambo yanapendeza kabisaa,na Bwana Mungu anatufurahia.


 Kabila la wahaya nao wakasema hapana na sisi tutamtukuza Bwana MUNGU wa majeshi aliyetuokoa na kutupigania bila ushuru wowote,wakicheza ngoma ya asili ya kihaya.
Mama nae hakuwa nyuma kuwakilisha kabila lake,Wameru hao wakiwakilisha.


Kabila la wagogo nao wakicheza ngoma ya kigogo huku wakimsifu bwana  MUNGU.Mama huyu alijituma sana kuonyesha ile asili ya ndani kabisa ya wagogo,safi sana.
Wenye mji wao hao wakiwakilisha kumtukuza Bwana wetu YESU,Wazaramo hao.

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."