ZAWADI KUTOKA KWA BABA YETU MWINGIRA



Wana wa Efatha wakijipatia uji safiii,zawadi toka kwa baba jioni baada ya mfungo wa siku nzima.



Na maandazi kwa wingiii.Ni furaha kukutanika pamoja wana wa BABA aliye juu na kupata mlo pamoja.Wadau niwaulize hivi na mbinguni si itakuwa ni hivihivi  aaaaaa No ni zaidi ya hivi wapenzi.Wote mlio nje ya YESU karibuniiii maana hiii ni zaidi ya ubwete ubwete kama Baba yetu Elias Mwingira asemavyo kuwa tutakula kwa ubwete ubwete.


Comments