SHUHUDA:Naitwa Ester Emmanuel: Napenda kushukuru Mungu kupitia mchungaji Michael kutoka njee ya nchi, alihubiri akasema kuna mtu anaitwa Ester ana neno aliambiwa na Mungu na asipolifanyia kazi litageuka na kumfanya awe kinyago, nanilimuona Raisi Nyerere akiididimiza chini kuzimu na mimi nikaamrishwa kutamka maneno nikaamuru na pia nikawa nina kutana na Raisi Mwinyi nayeye pia hivyo hivyo na pia nikamkuta pia anadidimiza nchi na mwishowa siku nikamkuta mtu mwishoni akanyanyua ngumi kwa ushuhujaa mkubwa natukawa tumeshinda

Comments