Ibada ya asubuhi ya kwanza inayo aanza saa moja kamili hakikisha unakuwepo jumapili ijayo.Kuna ya Pili saa NNE na ya tatu saa SABA karibu sana.

IBADA YA TAREHE 30/11/2014
NENO LA JUMAPILI NA MTUME NA NABII JOSEPHAT ELIAS MWINGIRA

MKESHA MKESHA MKESHA

UTAKUWEPO SEHEMU YA KUKATA MANENO.

YOHANA 5:1 – 18 
1.      Imani ya Kuona na
2.       Imani kuto kuona

Jinsi Yesu alivyo kuwa anafanya maajabu yake YOHANA 5:1-8 Imani lazima ikupeleke mahali lazima ikufikishe kwenye hitma ya kile unacho kitarajia. Yerusalemu hapo kunakitendea kazi, bilika liko pale Yerusalemu lilikuwa na matawi 5 na ndani ya hayo matawi kulikuwepo na jamii kubwa ya wagonjwa na hao wagonjwa wamegawanyika katika matatizo yao, VIPOFU, VIWETE, WALIO POOZA, ni watu wenye safari ya kiimani. Imani lazima ingojewe mtu mwenye imani anasubira. Mwenye imani hatafuti muujiza anatafuta neno likolee.

Ufunuo 22:17 na Roho na Bibi harusi na aseme njoo. YOHANA 7:37 BIRIKA LINA MATAWI 5 zaburi 40:1:5 atakuponya na mambo mabaya yote.
1.      Kuponya wenye shinda
2.      Kudhibitisha watu na imani zao angalia sana mtu asije kuchukua cha kwako. Ng’angania.  Kwani aliye kuwa wa kwanza kuingia katika bilika ndie anaponywa.


Fanya vile anavyotaka Mungu ufanye usitake wewe, tamani kuwa wa kwanza na umuweke Mungu wa kwanza na usiache mtu akutangulie. Acha kuzurula tulia kwa Mungu wako Yesu ni kitugani alikiona kwa Yule mtu kiwete? Aliangalia imani aliyo Yule mtu na nia aliyo anyo kila wakati akitaka kuingia mwenzie anaingia ndani ya miaka 38 hatoka hakukata tamaa iko siku muujiza utatimia.

Comments